Letras
Eehleeeh
Ben da soul,;
Ah
Mungu waangu
Aahaaaa
Nimevuka mito mabonde na milima
Hata kuna muda nilishinda na njaa
Ila kamwe katu siwezi kuruhusu
Kutoka (uweponi mwako), babaa
Waache wanisimange
wanikatae kwako sitaondoka aah
kwenye peji za mange
Waniseme vibaya kwako sitaondoka aah
Mara oh, benadi navuta bange,
Napenda mirungi wanawake na pombe,
Eti sina nizamu walinifuma na mshange,
Haya yalikua zamani baba leo nimebadilika
aaha aaahaaaaa
Mungu wangu, “mungu wangu
Asante kwa upendo, wako
Hii, Dunia ,vingi -vilio
Asante kwa upendo, wakoo
Japo Mateso, mateso, mateso,
Yamenilemea ila kamwe siachi kuombaah
Miguuni pako mungu wangu nafutwa machoozi yangu
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba (mteteezi )
Unae pigana upande wangu,
Baba (mteteezi)
Eeh yeeeh
Mambo ni mengi duniani ila siachi kuombaa
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba mteteezi
Asante baba la baba
aaah laaaa laaa
Uuuuhuuuu
La, la , la, la, la
Laaa laaa laaaa
Asante baba
Mungu wangu eeh
Asante papa godii aaha, la, la , laaa
Baba nimesoma, umefanya mingi miujiza
Mtumishi wako musa, aligusa mwamba yakatoka majii
Ulitimiza aneno yako, kwa manabii
Mwanao yesu kuzaliwa dunianii
Uliwalisha ma, mia elfu jangwani
Kwa vipande vya samaki na chapati tu jamanii
Uliwapa nguvu walio pooza, ukawafufua walio kufaa aah,
Mara oh, benadi navuta bange,
Napenda mirungi wanawake na pombe,
Eti sina nizamu walinifuma na mshange,
Haya yalikua zamani baba leo nimebadilika
aaha aaahaaaaa
Eeheeeeh yahweeh eeehee
Mungu wangu, “mungu wangu
Asante kwa upendo, wako
Hii, Dunia ,vingi -vilio
Asante kwa upendo, wakoo
Japo Mateso, mateso, mateso,
Yamenilemea ila kamwe siachi kuombaah
Miguuni pako mungu wangu nafutwa machoozi yangu
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba (mteteezi )
Unae pigana upande wangu,
Baba (mteteezi)
Eeh yeeeh
Mambo ni mengi duniani ila siachi kuombaa
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba mteteezi
Asante baba la baba
aaah laaaa laaa
Uuuuhuuuu
La, la , la, la, la
Laaa laaa laaaa
Asante baba
Mungu wangu eeh
Asante papa godii la, la, la , laaa
Eehlee aaah
Eeeeheee uuuuhuuuu
Eh
Mungu wangu, “mungu wangu
Asante kwa upendo, wako
Hii, Dunia ,vingi -vilio
Asante kwa upendo, wakoo
Japo Mateso, mateso, mateso,
Yamenilemea ila kamwe siachi kuombaah
Miguuni pako mungu wangu nafutwa machoozi yangu
Ben -da soul…
Ben da soul,;
Ah
Mungu waangu
Aahaaaa
Nimevuka mito mabonde na milima
Hata kuna muda nilishinda na njaa
Ila kamwe katu siwezi kuruhusu
Kutoka (uweponi mwako), babaa
Waache wanisimange
wanikatae kwako sitaondoka aah
kwenye peji za mange
Waniseme vibaya kwako sitaondoka aah
Mara oh, benadi navuta bange,
Napenda mirungi wanawake na pombe,
Eti sina nizamu walinifuma na mshange,
Haya yalikua zamani baba leo nimebadilika
aaha aaahaaaaa
Mungu wangu, “mungu wangu
Asante kwa upendo, wako
Hii, Dunia ,vingi -vilio
Asante kwa upendo, wakoo
Japo Mateso, mateso, mateso,
Yamenilemea ila kamwe siachi kuombaah
Miguuni pako mungu wangu nafutwa machoozi yangu
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba (mteteezi )
Unae pigana upande wangu,
Baba (mteteezi)
Eeh yeeeh
Mambo ni mengi duniani ila siachi kuombaa
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba mteteezi
Asante baba la baba
aaah laaaa laaa
Uuuuhuuuu
La, la , la, la, la
Laaa laaa laaaa
Asante baba
Mungu wangu eeh
Asante papa godii aaha, la, la , laaa
Baba nimesoma, umefanya mingi miujiza
Mtumishi wako musa, aligusa mwamba yakatoka majii
Ulitimiza aneno yako, kwa manabii
Mwanao yesu kuzaliwa dunianii
Uliwalisha ma, mia elfu jangwani
Kwa vipande vya samaki na chapati tu jamanii
Uliwapa nguvu walio pooza, ukawafufua walio kufaa aah,
Mara oh, benadi navuta bange,
Napenda mirungi wanawake na pombe,
Eti sina nizamu walinifuma na mshange,
Haya yalikua zamani baba leo nimebadilika
aaha aaahaaaaa
Eeheeeeh yahweeh eeehee
Mungu wangu, “mungu wangu
Asante kwa upendo, wako
Hii, Dunia ,vingi -vilio
Asante kwa upendo, wakoo
Japo Mateso, mateso, mateso,
Yamenilemea ila kamwe siachi kuombaah
Miguuni pako mungu wangu nafutwa machoozi yangu
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba (mteteezi )
Unae pigana upande wangu,
Baba (mteteezi)
Eeh yeeeh
Mambo ni mengi duniani ila siachi kuombaa
Natamani nikuone mungu wangu,
Baba mteteezi
Asante baba la baba
aaah laaaa laaa
Uuuuhuuuu
La, la , la, la, la
Laaa laaa laaaa
Asante baba
Mungu wangu eeh
Asante papa godii la, la, la , laaa
Eehlee aaah
Eeeeheee uuuuhuuuu
Eh
Mungu wangu, “mungu wangu
Asante kwa upendo, wako
Hii, Dunia ,vingi -vilio
Asante kwa upendo, wakoo
Japo Mateso, mateso, mateso,
Yamenilemea ila kamwe siachi kuombaah
Miguuni pako mungu wangu nafutwa machoozi yangu
Ben -da soul…